Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Noel: "Tulitaka kanyumba, hatakama ni kadogo lakini ni ketu."

Nyumba mpya

Serikali ya shirikisho yatoa $25,000 kama msaada wa ujenzi wa nyumba kusaidia sekta ya ujenzi. Source: Pixabay

Makazi ni moja ya vitu mhimu kwa binadam kote duniani, haswa kwa watu wanao wasili nchini Australia kama wahamiaji au wakimbizi.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Makazi ni moja ya vitu mhimu kwa binadam kote duniani, haswa kwa watu wanao wasili nchini Australia kama wahamiaji au wakimbizi.


Watu wengi wanao wasili nchini kama wakimbizi kawaida huja wakiwa katika familia zenye watu wengi.

Hali hiyo humaanisha wengi wao, hukabiliana na changamoto kubwa yakupata makazi yanayo tosheleza mahitaji yao, na wengi wao hukabiliwa na pigo baada ya lingine kutoka mawakala wa nyumba ambao hukataa maombi yao ya nyumba zinazo kidhi mahitaji ya familia zao.

Makala haya yanachunguza mchakato wakupata nyumba zinazo kidhi mahitaji ya familia, hususan familia zenye watu wengi ambao wanaishi katika nyumba ambako wanabanana kwa sababu ya uhaba wa nafasi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now