Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

NSW yawa jimbo la mwisho nchini Australia kuondoa hatia ya yakutoa mimba katika sheria

Hundreds rally outside NSW parliament in support of the bill. And independent Sydney MP Alex Greenwich (right) addresses the crowd.

Hundreds rally outside NSW parliament in support of the bill. And independent Sydney MP Alex Greenwich (right) addresses the crowd. Source: AAP

Baada ya wiki kadhaa ya mijadala za kisiasa na maandamano ya umma, NSW imekua jimbo la mwisho nchini Australia kuhalalisha utoaji mimba.


Published

By Lydia Feng

Presented by Gode Migerano, Mercy Baliat

Source: SBS



Share this with family and friends


Baada ya wiki kadhaa ya mijadala za kisiasa na maandamano ya umma, NSW imekua jimbo la mwisho nchini Australia kuhalalisha utoaji mimba.


Wabunge walisherehekea kwa kupiga makofi na mbwe mbwe, muswada huo ulipotolewa kutoka kwa sheria ya jinai, nakupitishwa bungeni.

Muswada huo wakutoa mimba sasa unaelekea kwa gavana wa NSW, ambaye atautia saini hatua itakayo fanya muswada huo kuwa sheria rasmi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now