NSW yawa jimbo la mwisho nchini Australia kuondoa hatia ya yakutoa mimba katika sheria

Hundreds rally outside NSW parliament in support of the bill. And independent Sydney MP Alex Greenwich (right) addresses the crowd.

Hundreds rally outside NSW parliament in support of the bill. And independent Sydney MP Alex Greenwich (right) addresses the crowd. Source: AAP

Baada ya wiki kadhaa ya mijadala za kisiasa na maandamano ya umma, NSW imekua jimbo la mwisho nchini Australia kuhalalisha utoaji mimba.


Wabunge walisherehekea kwa kupiga makofi na mbwe mbwe, muswada huo ulipotolewa kutoka kwa sheria ya jinai, nakupitishwa bungeni.

Muswada huo wakutoa mimba sasa unaelekea kwa gavana wa NSW, ambaye atautia saini hatua itakayo fanya muswada huo kuwa sheria rasmi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service