Wabunge walisherehekea kwa kupiga makofi na mbwe mbwe, muswada huo ulipotolewa kutoka kwa sheria ya jinai, nakupitishwa bungeni.
NSW yawa jimbo la mwisho nchini Australia kuondoa hatia ya yakutoa mimba katika sheria

Hundreds rally outside NSW parliament in support of the bill. And independent Sydney MP Alex Greenwich (right) addresses the crowd. Source: AAP
Baada ya wiki kadhaa ya mijadala za kisiasa na maandamano ya umma, NSW imekua jimbo la mwisho nchini Australia kuhalalisha utoaji mimba.
Share