Baada ya wiki kadhaa ya mijadala za kisiasa na maandamano ya umma, NSW imekua jimbo la mwisho nchini Australia kuhalalisha utoaji mimba.
Wabunge walisherehekea kwa kupiga makofi na mbwe mbwe, muswada huo ulipotolewa kutoka kwa sheria ya jinai, nakupitishwa bungeni.
Muswada huo wakutoa mimba sasa unaelekea kwa gavana wa NSW, ambaye atautia saini hatua itakayo fanya muswada huo kuwa sheria rasmi.
Share





