Jamii yawarundi wa NSW waadhimisha miaka 56, ya uhuru wa nchi yao ya asili na tamasha ya tamaduni yao

Wanachama wa jamii yawarundi wanao ishi mjini Sydney, wachangia maoni yao kuhusu maadhimisho ya miaka 56 ya nchi yao ya asili pamoja na tamasha ya tamaduni yao nchini Australia

Wanachama wa jamii yawarundi wanao ishi mjini Sydney, wachangia maoni yao kuhusu maadhimisho ya miaka 56 ya nchi yao ya asili pamoja na tamasha ya tamaduni yao Source: SBS Swahili

Jamii yawarundi wa NSW waliadhimisha miaka 56 ya uhuru wa nchi yao ya asili mjini Sydney, pamoja nakuchangia tamaduni zao na wageni walio hudhuria tukio hilo. Baadhi yao wali changia maoni yao kuhusu maadhimisho hayo na SBS Swahili.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service