Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Shambulio kwa uwanja wa mafuta, lasababisha ongezo ya bei ya mafuta

Viwanja vya mafuta vya Saudi Arabia vya shambuliwa kwa moto

Viwanja vya mafuta vya Saudi Arabia vya shambuliwa kwa moto Source: Reuters

Soko za dunia zina endelea kushuhudia ongezeko la bei ya mafuta, kufuatia shambulizi la viwanda vya mafut nchini Saudi Arabia wekendi iliyopita.


Published

Updated

By Camille Bianchi

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Soko za dunia zina endelea kushuhudia ongezeko la bei ya mafuta, kufuatia shambulizi la viwanda vya mafut nchini Saudi Arabia wekendi iliyopita.


Wachambuzi wamesema waendesha magari wa Australia watalipa zaidi katika vituo vya mafuta, katika siku zijazo na wameonya kuwa, hiyo ni ongezeko ya bei ambayo itaendelea kuongezeka kwa muda mrefu.

Australia ina petroli na mafuta ambayo hayaja safishwa kutumiwa nchini kwa muda wa siku 28, ambayo ni kidogo kama inavyo takiwa katika makubaliano yakimataifa, ambayo yanahitaji nchi kuwa na mafuta yakutosha kutumiwa kwa muda wa siku 90.

Mwezi jana Angus Taylor ali thibitisha kuwa Australia inafanya mazungumzo na marekani, kutumia petroli yake iliyo hifadhiwa.

Wakati huo huo chama cha Labor kimesema kuwa hiyo sio suluhu fanisi kwa usalama wa mafuta, kwa sababu haitapiga jeki usambazaji wa mafuta nchini.

Mbunge huru Andrew Wilkie amesema ni udanganyifu kuwasilisha mpango kama suluhu, wakati unategemea sana wema na hautoi maelezo kuhusu uhaba kimataifa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now