Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ni kama ndoto, Noel afunguka kuhusu tuzo yake

Noel Zihabamwe baada yaku shinda tuzo kuu ya 2016 ya Waziri Mkuu wa NSW
Noel Zihabamwe baada yaku shinda tuzo kuu ya 2016 ya Waziri Mkuu wa NSW Source: SBS Swahili

Ni nadra kwa mtu anaye andika kitabu kwa mara ya kwanza, kuona kizi yake ina orodheshwa katika orodha ya tuzo za Historia ya Waziri mkuu wa NSW.


Published

Updated

By SBS Swahili

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Ni nadra kwa mtu anaye andika kitabu kwa mara ya kwanza, kuona kizi yake ina orodheshwa katika orodha ya tuzo za Historia ya Waziri mkuu wa NSW.


Mwaka huu kitabu cha: One Thousand Hills kilicho andikwa na James Roy na Noel Zihabamwe, kili orodheshwa katika tuzo hizo. Kitabu hicho kina husu hadithi yaku tungwa kuhusu vijana wakati wa mauaji ya kimbari ya mwaka wa 1994 nchini Rwanda.

SBS Swahili ili hudhuria sherehe hizo, ambako tulipata fursa yaku zungumza na Bw Noel, muda mfupi baada yaku tangazwa mshindi wa mwaka huu wa 2016.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now