Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ongezeko ya bei ya mafuta yazua wito kwa serikali ipunguze kodi ya mafuta- je hatua hiyo itasaidia chochote?

Mwanaume aweka petroli ndani ya gari, katika kituo cha petroli Melbourne.

Mwanaume aweka petroli ndani ya gari, katika kituo cha petroli Melbourne. Source: AAP Image/Julian Smith

Bei za mafuta duniani zina endelea kuongezeka wakati wa vita Ukraine, vikisababisha bei ya kiwango kikubwa zaidi nchini Australia.


Published

Updated

By Arianna Lucente, Pablo Vinales

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Bei za mafuta duniani zina endelea kuongezeka wakati wa vita Ukraine, vikisababisha bei ya kiwango kikubwa zaidi nchini Australia.


Kuna wito kwa serikali ikate kodi ya mafuta, wiki mbili tu kabla ya bajeti ya shirikisho kutangazwa.

Kampuni ya Newspoll hufanya kura za maoni kwa maswala mbali mbali, imetoa vidokezo kwa maoni ya wapiga kura kuhusu uchaguzi mkuu ujao. Kura za kwanza cha chama cha Labor na za chama cha mseto hazija badilika. Katika kura za upendeleo kati ya vyama viwili, upinzani bado unaongoza kwa alama 10. Na kwa mara ya kwanza katika zaidi ya miaka mbili, Anthony Albanese ana upendeleo sawia na Scott Morrison kama 'waziri mkuu bora' miongoni mwa wapiga kura.

Hata hivyo, matokeo ya kura halisi yatakuwa yale ya siku ya uchaguzi, ambao bado hauja tangazwa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now