Ongezeko ya bei ya mafuta yazua wito kwa serikali ipunguze kodi ya mafuta- je hatua hiyo itasaidia chochote?

Mwanaume aweka petroli ndani ya gari, katika kituo cha petroli Melbourne.

Mwanaume aweka petroli ndani ya gari, katika kituo cha petroli Melbourne. Source: AAP Image/Julian Smith

Bei za mafuta duniani zina endelea kuongezeka wakati wa vita Ukraine, vikisababisha bei ya kiwango kikubwa zaidi nchini Australia.


Kuna wito kwa serikali ikate kodi ya mafuta, wiki mbili tu kabla ya bajeti ya shirikisho kutangazwa.

Kampuni ya Newspoll hufanya kura za maoni kwa maswala mbali mbali, imetoa vidokezo kwa maoni ya wapiga kura kuhusu uchaguzi mkuu ujao. Kura za kwanza cha chama cha Labor na za chama cha mseto hazija badilika. Katika kura za upendeleo kati ya vyama viwili, upinzani bado unaongoza kwa alama 10. Na kwa mara ya kwanza katika zaidi ya miaka mbili, Anthony Albanese ana upendeleo sawia na Scott Morrison kama 'waziri mkuu bora' miongoni mwa wapiga kura.

Hata hivyo, matokeo ya kura halisi yatakuwa yale ya siku ya uchaguzi, ambao bado hauja tangazwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Ongezeko ya bei ya mafuta yazua wito kwa serikali ipunguze kodi ya mafuta- je hatua hiyo itasaidia chochote? | SBS Swahili