Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ongezeko ya gharama ya maisha yawaacha wafanyakazi wa mshahara wa chini bila uwezo wakumudu vitu vya msingi

OzHarvest

Utafiti mpya ume pata kuwa mfanyakazi nchini Australia wa wakati wote, anaye lipwa mshahara wa chini, huwa ana salia tu na $57 baada ya gharama mhimu za kila wiki.


Published

Updated

By Tys Occhiuzzi, Biwa Khan

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Utafiti mpya ume pata kuwa mfanyakazi nchini Australia wa wakati wote, anaye lipwa mshahara wa chini, huwa ana salia tu na $57 baada ya gharama mhimu za kila wiki.


Matokeo ya utafiti huo yame jumuishwa katika ripoti ya kielezo cha gharama yakuishi, iliyo andaliwa na shirika la Anglicare Australia.

Ripoti hiyo imeonesha kuwa makaazi ni sehemu ya gharama kubwa ambayo wa Australia wenye mishahara ya chini wanakabili.

Alipo zungumzia hoja hiyo, waziri wa huduma zajamii, Amanda Rishworth, amesema bajeti ya shirikisho ya mei ilitoa malengo ya afueni kwa gharama ya maisha yenye thamani ya $14.6 bilioni, pamoja na nyongeza ya dola milioni 15.7 kwa uwekezeaji wa ufadhili wa mgogoro wa kiuchumi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now