Kamishna wa maswala ya ubaguzi wa rangi anaye ondoka mamlakani, akosoa wanasiasa na vyombo vya habari

Dr Tim Soutphommasane, kamishna wa zamani wa maswala ya ubaguzi wa rangi nchini Australia.

Dr Tim Soutphommasane, kamishna wa zamani wa maswala ya ubaguzi wa rangi nchini Australia. Source: AAP

Kamishna wa masuala ya Ubaguzi wa rangi anayemaliza muda wake wa uongozi amesema, Australia inaonekana kutotilia mkazo suluhisho la kisiasa au viongozi kuwa na mazungumzo juu ya ubaguzi wa rangi.


Dr Tim Soutphommasane, alitoa maoni hayo wakati wa hotuba yake ya mwisho kama kamishna, akiwatuhumu wanasiasa na vyombo vya habari kutumia ubaguzi wa rangi kujipatia fedha au faida kisiasa.

Mwanasheria Mkuu wa Shirikisho Christian Porter, bado hajatangaza nani ata rithi wadhifa wa Dr Soutphommasane.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service