Dr Tim Soutphommasane, alitoa maoni hayo wakati wa hotuba yake ya mwisho kama kamishna, akiwatuhumu wanasiasa na vyombo vya habari kutumia ubaguzi wa rangi kujipatia fedha au faida kisiasa.
Kamishna wa maswala ya ubaguzi wa rangi anaye ondoka mamlakani, akosoa wanasiasa na vyombo vya habari

Dr Tim Soutphommasane, kamishna wa zamani wa maswala ya ubaguzi wa rangi nchini Australia. Source: AAP
Kamishna wa masuala ya Ubaguzi wa rangi anayemaliza muda wake wa uongozi amesema, Australia inaonekana kutotilia mkazo suluhisho la kisiasa au viongozi kuwa na mazungumzo juu ya ubaguzi wa rangi.
Share




