Maandamano yaku zuia kazi ya kampuni ya madini Adani pamoja na ibada kanisani vili tangulia hafla yaku fungua bunge mwaka huu wa 2018. Punde baadae maswala nyeti yaliyo ikabili bunge na taifa mwaka jana yali ibuka tena ndani ya bunge la taifa.
Uraia pacha wa wabunge pamoja na uchumi wa taifa ulikuwa katika mstari wa mbele, pamoja na sheria za uingiliaji kati wakigeni na mipango yaku zindua shirika jipya laku chunguza maswala ya rushwa nchini.
Share






