Maswala ya uraia na uchumi ya tawala muhula mpya wa bunge

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull katika kipindi cha maswali na majibu ndani ya bunge la taifa

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull katika kipindi cha maswali na majibu ndani ya bunge la taifa Source: AAP

Maandamano yaku zuia kazi ya kampuni ya madini Adani pamoja na ibada kanisani vili tangulia hafla yaku fungua bunge mwaka huu wa 2018. Punde baadae maswala nyeti yaliyo ikabili bunge na taifa mwaka jana yali ibuka tena ndani ya bunge la taifa.


Uraia pacha wa wabunge pamoja na uchumi wa taifa ulikuwa katika mstari wa mbele, pamoja na sheria za uingiliaji kati wakigeni na mipango yaku zindua shirika jipya laku chunguza maswala ya rushwa nchini.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service