Patrick: "Hata nikifa kesho, watu wengine watajua niliyo pitia kupitia' Survivors Uncensored"

Survivors Uncensored Kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu mauaji yakimbari ya 1994 Rwanda.jpg

Survivors Uncensored: Kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu mauaji yakimbari ya 1994 Rwanda Credit: Ribara Uwariraye

Watu wengi barani Afrika, wanao toa kauli ambazo ni kinyume ya kauli rasmi ya mamlaka hujipata kwenye hali ngumu.


Patrick ni mmoja wa waandishi wa kitabu cha Survivors Uncensored, katika mahojiano maalum baada ya kitabu alicho shiriki kuandika kuchapishwa alifunguka kuhusu gharama anayo lipa kwa ajili ya uhuru wake wakuzungumza.

Bw Patrick asisitiza kuwa: "Hata nikifa kesho, watu wengine watajua niliyo pitia kupitia hadithi yangu ndani ya kitabu cha Survivors Uncensored."

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili na Bw Patrick. Na kama ungependa soma kitabu cha Survivors Uncensored, unaweza kipata kwenye tovuti hii: https://www.amazon.com/SURVIVORS-UNCENSORED-TESTIMONIES-PRE-RESILIENCE/dp/B0B5KQSKQ8



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service