Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Patrick: "Hata nikifa kesho, watu wengine watajua niliyo pitia kupitia' Survivors Uncensored"

Survivors Uncensored Kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu mauaji yakimbari ya 1994 Rwanda.jpg

Survivors Uncensored: Kitabu chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu mauaji yakimbari ya 1994 Rwanda Credit: Ribara Uwariraye

Watu wengi barani Afrika, wanao toa kauli ambazo ni kinyume ya kauli rasmi ya mamlaka hujipata kwenye hali ngumu.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Watu wengi barani Afrika, wanao toa kauli ambazo ni kinyume ya kauli rasmi ya mamlaka hujipata kwenye hali ngumu.


Patrick ni mmoja wa waandishi wa kitabu cha Survivors Uncensored, katika mahojiano maalum baada ya kitabu alicho shiriki kuandika kuchapishwa alifunguka kuhusu gharama anayo lipa kwa ajili ya uhuru wake wakuzungumza.

Bw Patrick asisitiza kuwa: "Hata nikifa kesho, watu wengine watajua niliyo pitia kupitia hadithi yangu ndani ya kitabu cha Survivors Uncensored."

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili na Bw Patrick. Na kama ungependa soma kitabu cha Survivors Uncensored, unaweza kipata kwenye tovuti hii: https://www.amazon.com/SURVIVORS-UNCENSORED-TESTIMONIES-PRE-RESILIENCE/dp/B0B5KQSKQ8


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now