Mjini Sydney Australia, Patrick Muraguri alipewa heshima yakuchaguliwa kuwa shujaa wa mwaka, na wanachama wa jamii wenza, kwa huduma anayo toa katika jamii yawa Kenya mjini Sydney.
Patrick Muraguri: Ni heshima kubwa kuchaguliwa shujaa wa mwaka

Mh Isaiya kabira balozi wa Kenya nchini Australia, akiwa pamoja na shujaa wa mwaka Patrick Muraguri Source: SBS Swahili
Jamii yawa Kenya ilikutana kuadhimisha michango ya mashujaa, walio pigania uhuru wa nchi yao ya asili.
Share