Patrick Muraguri: Ni heshima kubwa kuchaguliwa shujaa wa mwaka

Mh Isaiya kabira balozi wa Kenya nchini Australia, akiwa pamoja na shujaa wa mwaka Patrick Muraguri

Mh Isaiya kabira balozi wa Kenya nchini Australia, akiwa pamoja na shujaa wa mwaka Patrick Muraguri Source: SBS Swahili

Jamii yawa Kenya ilikutana kuadhimisha michango ya mashujaa, walio pigania uhuru wa nchi yao ya asili.


Mjini Sydney Australia, Patrick Muraguri alipewa heshima yakuchaguliwa kuwa shujaa wa mwaka, na wanachama wa jamii wenza, kwa huduma anayo toa katika jamii yawa Kenya mjini Sydney.

Bw Muraguri alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS muda mfupi baada yakupewa tuzo yake, kuhusu huduma anayo toa kwa jamii pamoja na mipango yake kwa jamii yake katika siku za usoni.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service