Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Patrick Muraguri: Ni heshima kubwa kuchaguliwa shujaa wa mwaka

Mh Isaiya kabira balozi wa Kenya nchini Australia, akiwa pamoja na shujaa wa mwaka Patrick Muraguri

Mh Isaiya kabira balozi wa Kenya nchini Australia, akiwa pamoja na shujaa wa mwaka Patrick Muraguri Source: SBS Swahili

Jamii yawa Kenya ilikutana kuadhimisha michango ya mashujaa, walio pigania uhuru wa nchi yao ya asili.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jamii yawa Kenya ilikutana kuadhimisha michango ya mashujaa, walio pigania uhuru wa nchi yao ya asili.


Mjini Sydney Australia, Patrick Muraguri alipewa heshima yakuchaguliwa kuwa shujaa wa mwaka, na wanachama wa jamii wenza, kwa huduma anayo toa katika jamii yawa Kenya mjini Sydney.

Bw Muraguri alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS muda mfupi baada yakupewa tuzo yake, kuhusu huduma anayo toa kwa jamii pamoja na mipango yake kwa jamii yake katika siku za usoni.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now