Mawaziri wawili wa shirikisho wame tangaza wata staafu kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Wabunge wa chama cha Liberal Christopher Pyne na Steve Ciobo, wame ongezea orodha ya idadi yamawaziri ambao hawata wania uchaguzi tena katika maeneo bunge yao.
Bw Pyne ata salia katika wadhifa wake ndani ya baraza la mawaziri hadi uchaguzi mkuu ujao, wakati seneta wa magharibi Australia Linda Reynolds, ata ongoza wizara ya sekta ya ulinzi.
Share






