Wabunge wa chama cha Liberal Christopher Pyne na Steve Ciobo, wame ongezea orodha ya idadi yamawaziri ambao hawata wania uchaguzi tena katika maeneo bunge yao.
Waziri Mkuu ampa Linda Reynolds uwaziri, baada ya mawaziri wawili kujiuzulu

Waziri wa Ulinzi Christopher Pyne akiwa nje ya ofisi ya eneo bunge lake katika kitongoji cha Magill, Adelaide Source: AAP
Mawaziri wawili wa shirikisho wame tangaza wata staafu kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Share