Waziri Mkuu apinga wito waku anzisha uchunguzi kwa bei ya umeme

Miamba ya umeme katika kituo cha umeme wa makaa ya mawe cha Liddell, katika eneo la Muswellbrook, NSW

Miamba ya umeme katika kituo cha umeme wa makaa ya mawe cha Liddell, katika eneo la Muswellbrook, NSW Source: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesema hata unga mkono, wito wa kuanzishwa kwa tume ya uchunguzi kwa gharama ya umeme.


Baadhi ya wabunge wa chama chake wana amini, tisho la tume ya uchunguzi lita fanya wanao uza umeme wapunguze gharama.

Ila, BwTurnbull amesema Australia imeshuhudia tahari gharama ghali za umeme. Pendekezo lolote, lita hitaji msaada wa chama cha Labor.

Hata kama chama hicho kime unga mkono uchunguzi katika sekta ya mabenki, chama hicho kina amini hakuna nia yakuwa na uchunguzi huo.

Upinzani umesema serikali ya Turnbull, inastahili toa ripoti hiyo ya ACCC mara moja, kuonesha kwa nini tume ya uchunguzi inahitajika.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service