Bw Turnbull alitoa madai hayo alipo hotubia kongamano la umoja wa mataifa, ambalo lilikuwa liki jadili mgogoro wakibinadam na wakimbizi. Hali hiyo imetajwa kuwa mbaya zaidi tangu vita vya pili vya ulimwengu. Bw Turnbull amehamasisha jumuiya yakimataifa, iwekeze katika utofauti kwa sababu inaweza kabiliana na ubaguzi na itikadi kali.
Katika hotuba yake ndani ya makao makuu ya umoja wa mataifa mjini New York, Waziri Mkuu alieleza wajumbe kuwa Australia ni taifa la wahamiaji.
Share
