Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Polisi wajumuika na jamii ya Wasomali baada ya shambulizi la mtaa wa Bourke

Mhanga wa shambulizi la kisu katika mtaa wa Bourke, mjini Melbourne, Victoria

Mhanga wa shambulizi la kisu katika mtaa wa Bourke, mjini Melbourne, Victoria Source: AAP

Polisi wa Victoria wamehaidi kuchukua hatua dhidi ya matendo yoyote ya unyanyasaji dhidi ya jamii za Waislamu, baada ya shambulizi la tarehe 9 Novemba 2018 katika mtaa wa Bourke, ambako kisu kilitumiwa katika shambulizi hilo katikati ya mji wa Melbourne.


Published

Updated

By Gareth Boreham

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Polisi wa Victoria wamehaidi kuchukua hatua dhidi ya matendo yoyote ya unyanyasaji dhidi ya jamii za Waislamu, baada ya shambulizi la tarehe 9 Novemba 2018 katika mtaa wa Bourke, ambako kisu kilitumiwa katika shambulizi hilo katikati ya mji wa Melbourne.


Maafisa wa ngazi za juu wamesema kuwa, wanawake wanaovaa hijabu wamekuwa wakitukanwa katika umma, baada ya shambulizi hilo lililofanywa na mwanaume aliyezaliwa Somalia. Idara hiyo ya Polisi imetupilia mbali pia, mapendekezo kuwa motisha ya mshambuliaji huyo, ilikuwa kile ambacho kimeripotiwa kuwa ni itikadi kali za kiislamu.

Watu wa Melbourne wametoa heshima zao za mwisho leo jumanne tarehe 20 Novemba 2018, kwa marehemu Sisto Malaspina ambaye alikuwa mmiliki wa mgahawa maarufu kwa jina la Pelligrini's.

Umma ulijumuika ndani ya kanisa la Saint Patricks, kumuaga marehemu Sisto, katika ibada iliyosimamiwa na serikali ya Victoria.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now