Polisi wa Tanzania washtumiwa kwa visa vya ubakaji

Jeshi la polisi Tanzania mazoezini

Jeshi la polisi Tanzania mazoezini Source: The East African

Polisi Tanzania imesema Ijumaa walikuwa wanachunguza madai dhidi ya baadhi ya maafisa wa polisi, kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kingono wa wanawake kadhaa katika vilabu vya usiku.


Madai hayo yamelitikisa jeshi la polisi la Tanzania, hatua ambayo imepelekea mashirika kadhaa ya utetezi wa haki za binadam kutaka uchunguzi wa haraka kufunywa dhidi ya wahusika.

Shutuma hizo zilitolewa wakati wa mkutano wa hadhara, na kamishna wa polisi wa wilaya ya Handeni, katika mkoa wa Tanga wiki iliyopita.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi ame andaa maelezo zaidi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service