Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Polisi wa Tanzania washtumiwa kwa visa vya ubakaji

Jeshi la polisi Tanzania mazoezini

Jeshi la polisi Tanzania mazoezini Source: The East African

Polisi Tanzania imesema Ijumaa walikuwa wanachunguza madai dhidi ya baadhi ya maafisa wa polisi, kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kingono wa wanawake kadhaa katika vilabu vya usiku.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Polisi Tanzania imesema Ijumaa walikuwa wanachunguza madai dhidi ya baadhi ya maafisa wa polisi, kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kingono wa wanawake kadhaa katika vilabu vya usiku.


Madai hayo yamelitikisa jeshi la polisi la Tanzania, hatua ambayo imepelekea mashirika kadhaa ya utetezi wa haki za binadam kutaka uchunguzi wa haraka kufunywa dhidi ya wahusika.

Shutuma hizo zilitolewa wakati wa mkutano wa hadhara, na kamishna wa polisi wa wilaya ya Handeni, katika mkoa wa Tanga wiki iliyopita.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi ame andaa maelezo zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now