Viongozi wakisiasa wapigia debe ndoa za wapenzi wa jinsia moja

Kiongozi wa upinzani Bill Shorten kwenye mkutano waku tetea ndoa za wapenzi wa jinsia moja

Kiongozi wa upinzani Bill Shorten kwenye mkutano waku tetea ndoa za wapenzi wa jinsia moja Source: AAP

Viongozi wakisiasa nchini, wanaendelea kupigia debe kura ya ndio katika kura ya maoni kwa posta, yaku idhinisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja.


Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani, kwa kauli moja wame sema hilo ni swala linalo leta vyama tofauti vyaki siasa pamoja.

Hata hivyo, wanao pinga hoja hiyo, wame endelea kusisitiza kuwa, kuruhusa ndoa za wapenzi wa jinsia moja kutazua madhara yakijamii.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service