Viongozi wakisiasa nchini, wanaendelea kupigia debe kura ya ndio katika kura ya maoni kwa posta, yaku idhinisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja.
Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani, kwa kauli moja wame sema hilo ni swala linalo leta vyama tofauti vyaki siasa pamoja.
Hata hivyo, wanao pinga hoja hiyo, wame endelea kusisitiza kuwa, kuruhusa ndoa za wapenzi wa jinsia moja kutazua madhara yakijamii.
Share
