Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Viongozi wakisiasa wapigia debe ndoa za wapenzi wa jinsia moja

Kiongozi wa upinzani Bill Shorten kwenye mkutano waku tetea ndoa za wapenzi wa jinsia moja

Kiongozi wa upinzani Bill Shorten kwenye mkutano waku tetea ndoa za wapenzi wa jinsia moja Source: AAP

Viongozi wakisiasa nchini, wanaendelea kupigia debe kura ya ndio katika kura ya maoni kwa posta, yaku idhinisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS




Share this with family and friends


Viongozi wakisiasa nchini, wanaendelea kupigia debe kura ya ndio katika kura ya maoni kwa posta, yaku idhinisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja.


Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani, kwa kauli moja wame sema hilo ni swala linalo leta vyama tofauti vyaki siasa pamoja.

Hata hivyo, wanao pinga hoja hiyo, wame endelea kusisitiza kuwa, kuruhusa ndoa za wapenzi wa jinsia moja kutazua madhara yakijamii.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now