Wanasiasa walio hudumu katika jeshi la taifa, na maana ya siku ya Anzac kwao

Mbunge wa chama cha Labor Luke Gosling akiwa na medali zake kutoka jeshi la Australia

Mbunge wa chama cha Labor Luke Gosling akiwa na medali zake kutoka jeshi la Australia Source: AAP

Australia inapo jiandaa kuadhimisha siku kuu ya Anzac Day tarehe 25 Aprili, siku hiyo ina umuhimu hususan kwa baadhi ya wanasiasa wa shirikisho walio hudumu katika jeshi la taifa.


Wanasiasa hao wanatoka katika mirengo tofauti yaki siasa, na baadhi yao wali hudumu katika vikosi maalum, wengine walikuwa marubani na mmoja ni jenerali mstaafu.

Baadhi ya wanasiasa hao, wame changia maoni yao na shirika la habari la SBS, kuhusu maana ya Anzac Day kwao.

Bunge lime watambua wanasiasa wapatao 119, walio hudumu katika jeshi katika vita vya kwanza vya dunia. Hakuna mbunge wa shirikisho aliye fariki katika vita hivyo.

Huu ndio mwaka wa mwisho wa miaka mia ya Anzac.

Itakuwa ni miaka 100 tangu mwafaka waku sitisha vita kutiwa saini, na kutangazwa kwa mwisho wa vita.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service