Poni na Katinda: "Njooni tusherehekea muziki na tamaduni zetu za Afrika"

Msanii atoa burudani katika tamasha ya Muziki na Tamaduni yawa Afrika, Federation Square, Melbourne, Victoria

Credit: Cameron James Cope

Ni miaka tisa tangu, Tamasha ya Muziki na Tamaduni za Afrika ilipo anzishwa mjini Melbourne, Victoria.


Umaarufu wa tamasha hiyo umekuwa sana, kiasi kwamba zaidi ya watu elfu arobaini wame kuwa wakihudhuria tamasha hiyo kila mwaka.

Wanakamati wa tamasha hiyo Bi Poni na Katinda, wali eleza SBS Swahili kuwa wanatarajia kupokea zaidi ya watu elfu sitini mwaka huu.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya tamasha hiyo wapenzi wa muziki na tamaduni zawa Afrika watapata burudani kwa siku tatu kuanzia Ijumaa 18 Novemba, Jumamosi 19 Novemba na Jumapili 20 Novemba 2022 katika ukumbi wa Federation Square ambao uko katikati ya jiji la Melbourne.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili, pamoja na hapa chini kwa taarifa ya ziada kuhusu tamasha hiyo. www.africanmusicfestival.com.au



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Poni na Katinda: "Njooni tusherehekea muziki na tamaduni zetu za Afrika" | SBS Swahili