Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Poni na Katinda: "Njooni tusherehekea muziki na tamaduni zetu za Afrika"

Msanii atoa burudani katika tamasha ya Muziki na Tamaduni yawa Afrika, Federation Square, Melbourne, Victoria

Ni miaka tisa tangu, Tamasha ya Muziki na Tamaduni za Afrika ilipo anzishwa mjini Melbourne, Victoria.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Ni miaka tisa tangu, Tamasha ya Muziki na Tamaduni za Afrika ilipo anzishwa mjini Melbourne, Victoria.


Umaarufu wa tamasha hiyo umekuwa sana, kiasi kwamba zaidi ya watu elfu arobaini wame kuwa wakihudhuria tamasha hiyo kila mwaka.

Wanakamati wa tamasha hiyo Bi Poni na Katinda, wali eleza SBS Swahili kuwa wanatarajia kupokea zaidi ya watu elfu sitini mwaka huu.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya tamasha hiyo wapenzi wa muziki na tamaduni zawa Afrika watapata burudani kwa siku tatu kuanzia Ijumaa 18 Novemba, Jumamosi 19 Novemba na Jumapili 20 Novemba 2022 katika ukumbi wa Federation Square ambao uko katikati ya jiji la Melbourne.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili, pamoja na hapa chini kwa taarifa ya ziada kuhusu tamasha hiyo. www.africanmusicfestival.com.au


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now