Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ps Ngugi "Siku hizi watu wamekosa muda wakushiriki katika ibada"

church.png

Nyumba nyingi za ibada kote duniani hufurika wakati wa pasaka, hali ambayo ni tofuati na wakati mwingine wa mwaka.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Nyumba nyingi za ibada kote duniani hufurika wakati wa pasaka, hali ambayo ni tofuati na wakati mwingine wa mwaka.


Kujua kwa nini waumini wengi hujumuika katika sehemu za ibada wakati wamatukio yakidini, SBS Swahili ilizungumza na Mchungaji Ngugi ambaye huongoza kanisa lawa Afrika mjini Sydney, Australia.

Mchungaji Ngugi na kanisa lake, wana andaa sherehe maalum ya pasaka tarehe 10 Aprili 2023, katika bustani ya Holroyd Gardens, Merrylands, NSW.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now