Maswali yame ibuka kuhusu hatma ya mamia yawaomba hifadhi na wakimbizi ambao wako ndani ya kizuizi nchini Papua New Guinea, baada yaku fungwa kwa kituo hicho.
Serikali za Australia na PNG zilifanya tangazo hilo baada ya mahakama kuu ya PNG, kuamua kwamba kizuizi cha Kisiwa cha Manus kinakiuka katiba ya PNG.
Pamoja na shinikizo toka kwa umma na kisheria kwa Australia kupata suluhu endelevu na salama kwa wafungwa hao.
Share
