Rasilimali mpya yatolewa kuwasaidia vijana kukabiliana na ubaguzi wa rangi na chuki mtandaoni

Rasilimali mpya yakuwasaidia vijana mtandaoni

Rasilimali mpya yakuwasaidia vijana mtandaoni Source: eSafety

Utafiti mpya wa serikali ume baini zaidi ya nusu yawa Australia wenye umri kati ya miaka 12 na 17 wame shuhudia visa vya ubaguzi wa rangi au matusi kuhusi tamaduni na dini mtandaoni.


Na wakati kura ya posta kwa swala la ndoa za wapenzi wa jinsia moja ina subiriwa, utafiti ume onesha vijana kutoka kundi la LGBTI* ni moja ya kundi ambalo linalengwa mtandaoni.

Matokeo ya utafiti huo, yame sababisha rasilimali mpya za mtandao kuundwa na vijana, kwa ajili yaku wasaidia kukabiliana na masaibu yanayo wakabili mtandaoni.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service