Utafiti mpya wa serikali ume baini zaidi ya nusu yawa Australia wenye umri kati ya miaka 12 na 17 wame shuhudia visa vya ubaguzi wa rangi au matusi kuhusi tamaduni na dini mtandaoni.
Na wakati kura ya posta kwa swala la ndoa za wapenzi wa jinsia moja ina subiriwa, utafiti ume onesha vijana kutoka kundi la LGBTI* ni moja ya kundi ambalo linalengwa mtandaoni.
Matokeo ya utafiti huo, yame sababisha rasilimali mpya za mtandao kuundwa na vijana, kwa ajili yaku wasaidia kukabiliana na masaibu yanayo wakabili mtandaoni.
Share





