Luundo Radjabu ni msanii ambaye amekuwa akiimba naku wasaidia wasanii wa muziki wa injili kwa miaka mingi.
Ila sasa Bw Radjabu ame amua kuchukua hatua yakutoka nyuma ya pazia, nakuchangia kipaji chake na jamii kupitia album yake mpya atakayo zindua katika siku chache zijazo.
Bw Radjabu alifunguka kuhusu safari yake ya muziki wa injili, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.
Share






