Rahab:"Wasi wasi unanyima jamii zenye walemavu fursa zakupewa msaada"

Mama amubeba mgongoni mwanae mwenye ulemavu wa ngozi

Mama amubeba mgongoni, mwanae mwenye ulemavu wa ngozi Source: Getty

Watu ndani ya jamii wanao ishi na ulemavu wame pewa rasilmali mhimu, yakuchangia uzoefu wao wa maisha ya kila siku kupitia mradi wa "Speak My Language"


Idara ya huduma za jamii katika serikali ya madola, imewekeza mradi huo nakushirikisha ma shirika yajamii zenye tamaduni mbali mbali kote nchini, kusimamaia mradi huo unao wapa fursa watu wenye ulemavu ndani ya jamii husika fursa yaku changia uzoefu wao wakuishi vizuri na ulemavu kupitia makala yaliyo rekodiwa.

Joy Rahab Sinclair ni afisa anaye husika kuwa andaa watu wanao ishi na ulemavu, kuchangia uzoefu wao pamoja nakuchapisha makala hayo. Alieleza idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi mradi huo unasaidia jamii zenye tamaduni mbali mbali kujua jinsi yakuishi vizuri na ulemavu. Kwa taarifa zaidi kuhusu mradi wa Speak My Language tembelea tovuti yao: www.speakmylanguage.com.au

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service