Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rahab:"Wasi wasi unanyima jamii zenye walemavu fursa zakupewa msaada"

Mama amubeba mgongoni mwanae mwenye ulemavu wa ngozi

Mama amubeba mgongoni, mwanae mwenye ulemavu wa ngozi Source: Getty

Watu ndani ya jamii wanao ishi na ulemavu wame pewa rasilmali mhimu, yakuchangia uzoefu wao wa maisha ya kila siku kupitia mradi wa "Speak My Language"


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Watu ndani ya jamii wanao ishi na ulemavu wame pewa rasilmali mhimu, yakuchangia uzoefu wao wa maisha ya kila siku kupitia mradi wa "Speak My Language"


Idara ya huduma za jamii katika serikali ya madola, imewekeza mradi huo nakushirikisha ma shirika yajamii zenye tamaduni mbali mbali kote nchini, kusimamaia mradi huo unao wapa fursa watu wenye ulemavu ndani ya jamii husika fursa yaku changia uzoefu wao wakuishi vizuri na ulemavu kupitia makala yaliyo rekodiwa.

Joy Rahab Sinclair ni afisa anaye husika kuwa andaa watu wanao ishi na ulemavu, kuchangia uzoefu wao pamoja nakuchapisha makala hayo. Alieleza idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi mradi huo unasaidia jamii zenye tamaduni mbali mbali kujua jinsi yakuishi vizuri na ulemavu. Kwa taarifa zaidi kuhusu mradi wa Speak My Language tembelea tovuti yao: www.speakmylanguage.com.au

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now