Raila na Ruto kujua hatma ya ndoto zao zakuwa Rais

Kenya's Presidential election.jpg

Wagombea wa Urais wa Kenya Dr William Ruto (kushoto) wa Kenya Kwanza na, Raila Odinga (kulia) wa mrengo wa Azimio One Kenya kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu.

Vinara wa mirengo yakisiasa nchini Kenya wanasubiri kwa hamu, kujua maamuzi ya mahakama ya upeo kwa maombi iliyo pokea kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu.


Wanasheria wa pande zote wali wasilisha ushahidi wao mbele ya mahakimu wasaba wa mahakama ya upeo, kwa matumaini kuwa wataweza washawishi kuunga mkono hoja zao.

Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya, Raila Odinga ambaye aliwasilisha ombi lakubatilishwa kwa ushindi wa Dr William Ruto ame ahidi kukubali uamuzi wa mahakama naye Dr Ruto ameahidi kuyakubali maamuzi yamahakama pia.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi, ana maelezo zaidi kuhusu hoja za wahusika pamoja na matukio mengine kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service