Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Raila na Ruto kujua hatma ya ndoto zao zakuwa Rais

Kenya's Presidential election.jpg

Wagombea wa Urais wa Kenya Dr William Ruto (kushoto) wa Kenya Kwanza na, Raila Odinga (kulia) wa mrengo wa Azimio One Kenya kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu.

Vinara wa mirengo yakisiasa nchini Kenya wanasubiri kwa hamu, kujua maamuzi ya mahakama ya upeo kwa maombi iliyo pokea kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Vinara wa mirengo yakisiasa nchini Kenya wanasubiri kwa hamu, kujua maamuzi ya mahakama ya upeo kwa maombi iliyo pokea kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu.


Wanasheria wa pande zote wali wasilisha ushahidi wao mbele ya mahakimu wasaba wa mahakama ya upeo, kwa matumaini kuwa wataweza washawishi kuunga mkono hoja zao.

Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya, Raila Odinga ambaye aliwasilisha ombi lakubatilishwa kwa ushindi wa Dr William Ruto ame ahidi kukubali uamuzi wa mahakama naye Dr Ruto ameahidi kuyakubali maamuzi yamahakama pia.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi, ana maelezo zaidi kuhusu hoja za wahusika pamoja na matukio mengine kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now