Rais John Magufuli wa Tanzania, amekosolewa kwa muda mrefu kwa muonekano wake wakuto wekea umuhimu mavazi ya barakoa katika vita dhidi ya virusi vya Coronavirus.
Alipo hotubia umma, Rais Magufuli alisisitiza kuwa serikali yake haijamzuia mtu yeyote kuvaa barakoa, ila alitoa onyo kuhusu ubora wa baadhi ya barakoa zinazo uzwa.
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, Jumamosi alikabidhiwa uenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Afrika Mashariki (EAC) na mwenyekiti anayeondoka, Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Hii ni kufuatia mkutano uliofanyika kwa njia ya mtandao uliohudhuriwa na viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.
Share






