Rais Magufuli aonya kuhusu baadhi ya barakoa zinazo uzwa

A file photo of Tanzania's former president John Magufuli.

A file photo of Tanzania's former president John Magufuli. Source: AAP

Rais John Magufuli wa Tanzania, amekosolewa kwa muda mrefu kwa muonekano wake wakuto wekea umuhimu mavazi ya barakoa katika vita dhidi ya virusi vya Coronavirus.


Alipo hotubia umma, Rais Magufuli alisisitiza kuwa serikali yake haijamzuia mtu yeyote kuvaa barakoa, ila alitoa onyo kuhusu ubora wa baadhi ya barakoa zinazo uzwa.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, Jumamosi alikabidhiwa uenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Afrika Mashariki (EAC) na mwenyekiti anayeondoka, Rais wa Rwanda, Paul Kagame.

Hii ni kufuatia mkutano uliofanyika kwa njia ya mtandao uliohudhuriwa na viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service