Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rais Ruto "Sitaruhusu maandamano Kenya"

Rais Ruto akizungumza na wananchi.jpg

Rais wa Kenya Dkt William Ruto ameapa kutoruhusu kufanyika kwa maandamano ya upinzani ambayo yamepangwa kufanyika wiki ijayo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Rais wa Kenya Dkt William Ruto ameapa kutoruhusu kufanyika kwa maandamano ya upinzani ambayo yamepangwa kufanyika wiki ijayo.


Akizungumza katika mji wa Naivasha, Rais Ruto alisema uchaguzi ulifanywa mwaka jana na hakuna mtu yeyote anayeweza tafuta uongozi kwa kutumia damu ya wakenya na kuharibu mali.

Ruto amemtaka Bw Odinga asubiri hadi mwaka mwa 2027, wakati wa uchaguzi mkuu ujao na kwamba serikali haitaruhusu kufanyika kwa maandamano ya aina yoyote.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now