Rais Ruto "Sitaruhusu maandamano Kenya"

Rais Ruto akizungumza na wananchi.jpg

Rais wa Kenya Dkt William Ruto ameapa kutoruhusu kufanyika kwa maandamano ya upinzani ambayo yamepangwa kufanyika wiki ijayo.


Akizungumza katika mji wa Naivasha, Rais Ruto alisema uchaguzi ulifanywa mwaka jana na hakuna mtu yeyote anayeweza tafuta uongozi kwa kutumia damu ya wakenya na kuharibu mali.

Ruto amemtaka Bw Odinga asubiri hadi mwaka mwa 2027, wakati wa uchaguzi mkuu ujao na kwamba serikali haitaruhusu kufanyika kwa maandamano ya aina yoyote.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service