Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rais wa Togo ajiunga na viongozi wa Afrika ya kati na Mashariki kujadili amani na usalama jimboni

Marais Museveni (Uganda), Eyadema (Togo), Nguesso (Congo) na Tshisekedi (DR Congo) wajadili amani na usalama kandani

Marais Museveni (Uganda), Eyadema (Togo), Nguesso (Congo) na Tshisekedi (DR Congo) wajadili amani na usalama kandani. Source: Yoweri Museveni

Swala la Amani na Usalama, limekuwa mwiba na changamoto kubwa, kwa mataifa mengi barani Afrika hususan katika ukanda wa Afrika ya kati na Mashariki.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Swala la Amani na Usalama, limekuwa mwiba na changamoto kubwa, kwa mataifa mengi barani Afrika hususan katika ukanda wa Afrika ya kati na Mashariki.


Rais Denis Sassou Nguesso wa Jamhuri ya Congo, alikuwa mwenyeji wa kondamano dogo lakujadili amani na usalama kandani kwa matumaini yakupata mwelekeo na suluhu kwa swala hilo kutoka viongozi wenza wenye uzoefu wakukabiliana na changamoto hizo.

Miongoni mwa waliohudhuria kongamano hilo walikuwemo ma rais, Yoweri Museveni wa Uganda, Felix Tshisekedi wa Jamhuri Yademokrasia ya Congo na Faure Gnassingbé wa Togo.

Bonyeza hapo juu kwa ripoti kamili kutoka kwa mwandhisi wetu Jason Nyakundi, kuhusu kongamano hilo na mengine mengi kutoka, Afrika Mashariki, kati na Magharibi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now