Rais wa Togo ajiunga na viongozi wa Afrika ya kati na Mashariki kujadili amani na usalama jimboni

Marais Museveni (Uganda), Eyadema (Togo), Nguesso (Congo) na Tshisekedi (DR Congo) wajadili amani na usalama kandani

Marais Museveni (Uganda), Eyadema (Togo), Nguesso (Congo) na Tshisekedi (DR Congo) wajadili amani na usalama kandani. Source: Yoweri Museveni

Swala la Amani na Usalama, limekuwa mwiba na changamoto kubwa, kwa mataifa mengi barani Afrika hususan katika ukanda wa Afrika ya kati na Mashariki.


Rais Denis Sassou Nguesso wa Jamhuri ya Congo, alikuwa mwenyeji wa kondamano dogo lakujadili amani na usalama kandani kwa matumaini yakupata mwelekeo na suluhu kwa swala hilo kutoka viongozi wenza wenye uzoefu wakukabiliana na changamoto hizo.

Miongoni mwa waliohudhuria kongamano hilo walikuwemo ma rais, Yoweri Museveni wa Uganda, Felix Tshisekedi wa Jamhuri Yademokrasia ya Congo na Faure Gnassingbé wa Togo.

Bonyeza hapo juu kwa ripoti kamili kutoka kwa mwandhisi wetu Jason Nyakundi, kuhusu kongamano hilo na mengine mengi kutoka, Afrika Mashariki, kati na Magharibi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Rais wa Togo ajiunga na viongozi wa Afrika ya kati na Mashariki kujadili amani na usalama jimboni | SBS Swahili