Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

RAO: "Hatuta wavumilia wanyonyaji tena"

Wagombea wa NASA Raila Odinga, na Kalonzo Musyoka wakiwaonesha cheti chaku gombea Urais toka kwa IEBC

Wagombea wa NASA Raila Odinga, na Kalonzo Musyoka wakiwaonesha cheti chaku gombea Urais toka kwa IEBC Source: Picha: AAP Image/AP Photo/Sayyid Abdul Azim

Punde baada yakupewa cheti rasmi cha mgombea wa urais wa Kenya toka kwa tume ya IEBC, mgombea wa vyama vya muungano wa NASA Raila Amolo Odinga, alitembelea eneo la Donholm jijini Nairobi ambako aliweka hatma yake ya urais mikononi mwa raia wa Kenya.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Punde baada yakupewa cheti rasmi cha mgombea wa urais wa Kenya toka kwa tume ya IEBC, mgombea wa vyama vya muungano wa NASA Raila Amolo Odinga, alitembelea eneo la Donholm jijini Nairobi ambako aliweka hatma yake ya urais mikononi mwa raia wa Kenya.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now