Wanaharakati wa wakimbizi wapinga taarifa rasmi kuhufu kizuizini Manus wakati wa pasaka

Aran Mylvaganam azungumza na waandamanaji mjini Melbourne

Aran Mylvaganam azungumza na waandamanaji mjini Melbourne Source: Picha: AAP

Ripoti zinazo tofautiana zime zuka kuhusu vurugu wakati wa pasaka ndani ya kizuizi cha uhamiaji katika Kisiwa cha Manus.


Wanaharakati wa wakimbizi wame andamana mjini Melbourne, ambako wame pinga madai toka kwa mamlaka kuwa risasi zilifyatuliwa hewani.

Wame ongezea kuwa kisa hicho kime onesha hatari ya kizuizi hicho nchini Papua New Guinea.

Maandamano yame shuhudiwa katika mitaa ya Melbourne, baada ya vurugu kuzuka tena ndani ya vituo vya vizuizi maelfu ya kilomita kutoka Australia.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service