Wanaharakati wa wakimbizi wame andamana mjini Melbourne, ambako wame pinga madai toka kwa mamlaka kuwa risasi zilifyatuliwa hewani.
Wame ongezea kuwa kisa hicho kime onesha hatari ya kizuizi hicho nchini Papua New Guinea.
Aran Mylvaganam azungumza na waandamanaji mjini Melbourne Source: Picha: AAP
Wame ongezea kuwa kisa hicho kime onesha hatari ya kizuizi hicho nchini Papua New Guinea.

SBS World News