Mkimbizi wa zamani kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo amepewa tuzo yaki taifa kwa mchango wake katika mji wa Coffss Harbour ambao uko kaskazini ya NSW.
Jolie Kaja aliamua kufanya kazi ya huduma ya wazee alipo wasili katika mji huo wa pwani miaka mitatu iliyo pita.
Share





