Afueni baada ya Japan kupona tetemeko la ardhi na tsunami

Wimbi la tsunami lapaa katika mto Jizo, eneo la Soma, Fukushima, Japan

Wimbi la tsunami lapaa katika mto Jizo, eneo la Soma, Fukushima, Japan Source: AAP

Kuna afueni nchini Japan baada yakuto kuwepo ripoti za vifo na uharibifu mkubwa baada ya tetemeko la ardhi kugonga katika eneo la pwani ya kaskazini ya nchi hiyo.


Tetemeko hilo lilipiga eneo ambalo lili arithika na tukio hilo hilo miaka mitano iliyo pita, ambako tetemeko la ardhi lili sababisha tsunami kufunga kiwanda cha nyuklia. Madhara ya tukio hiyo yana endelea kusikika hadi leo.

Kwaku pata uelewa zaidi kuhusu tukio hili, SBS Swahili ilizungumza na mwanasayansi na mtaalam wa maswala ya baharini Jane Mbendo ambaye alifafanua zaidi.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Afueni baada ya Japan kupona tetemeko la ardhi na tsunami | SBS Swahili