Tetemeko hilo lilipiga eneo ambalo lili arithika na tukio hilo hilo miaka mitano iliyo pita, ambako tetemeko la ardhi lili sababisha tsunami kufunga kiwanda cha nyuklia. Madhara ya tukio hiyo yana endelea kusikika hadi leo.
Afueni baada ya Japan kupona tetemeko la ardhi na tsunami
Wimbi la tsunami lapaa katika mto Jizo, eneo la Soma, Fukushima, Japan Source: AAP
Kuna afueni nchini Japan baada yakuto kuwepo ripoti za vifo na uharibifu mkubwa baada ya tetemeko la ardhi kugonga katika eneo la pwani ya kaskazini ya nchi hiyo.
Share