Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Watafiti wakabiliana na ukame Mashariki Afrika

Mtaalam wa maswala ya kilimo Dkt Richard Koech

Mtaalam wa maswala ya kilimo Dkt Richard Koech Source: ABC Australia

Sehemu nyingi za Afrika Mashariki zime kabiliwa na ukame ambao ume walazimisha wenyeji na mifugo kuhama wanako ishi.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS




Share this with family and friends


Sehemu nyingi za Afrika Mashariki zime kabiliwa na ukame ambao ume walazimisha wenyeji na mifugo kuhama wanako ishi.


Watafiti katika vyuo tofauti vya Afrika Mashariki, kwa ushirikiano na wenzao katika vyuo vya Australia, wame ongeza juhudi kutafutia janga hili suluhu yakudumu.

SBS Swahili ilizungumza na Dkt Richard Koech kutoka chuo cha Central Queensland, kuhusu utafiti wake, pamoja na mapendekezo yatakayo faidi maeneo husika.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now