Watafiti wakabiliana na ukame Mashariki Afrika

Mtaalam wa maswala ya kilimo Dkt Richard Koech

Mtaalam wa maswala ya kilimo Dkt Richard Koech Source: ABC Australia

Sehemu nyingi za Afrika Mashariki zime kabiliwa na ukame ambao ume walazimisha wenyeji na mifugo kuhama wanako ishi.


Watafiti katika vyuo tofauti vya Afrika Mashariki, kwa ushirikiano na wenzao katika vyuo vya Australia, wame ongeza juhudi kutafutia janga hili suluhu yakudumu.

SBS Swahili ilizungumza na Dkt Richard Koech kutoka chuo cha Central Queensland, kuhusu utafiti wake, pamoja na mapendekezo yatakayo faidi maeneo husika.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service