Sehemu nyingi za Afrika Mashariki zime kabiliwa na ukame ambao ume walazimisha wenyeji na mifugo kuhama wanako ishi.
Watafiti katika vyuo tofauti vya Afrika Mashariki, kwa ushirikiano na wenzao katika vyuo vya Australia, wame ongeza juhudi kutafutia janga hili suluhu yakudumu.
SBS Swahili ilizungumza na Dkt Richard Koech kutoka chuo cha Central Queensland, kuhusu utafiti wake, pamoja na mapendekezo yatakayo faidi maeneo husika.
Share





