Chama cha mfuko wa fedha za ustaafu cha Australia, kime wahamasisha wa Australia waongeze mchango wao wa fedha katika mfuko wa mafao yaku staafu, hata hivyo ombi hilo halija ungwa mkono na kila.
Ongezeko la gharama ya maisha yazua mjadala wa umuhimu waku ongeza akiba yakustaafu
Akiba ya ziada inahitajika iwapo maisha ya ustaafu yatakuwa ya starehe Source: Picha AAP
Shirika muhimu linalo wakilisha sekta yaku staafu nchini Australia limesema, ongezeko ya gharama ya maisha ya kila siku, lina ongeza kiasi cha hela zinazo hitajika mtu anapo staafu.
Share




