Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rosaria "Serikali mpya ya Burundi ikabiliane na ongezeko la unyanyasaji wa wanawake nchini"

Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi

Evariste Ndayishimiye alakiapo cha kuwa Rais mpya wa Burundi Source: Getty Images

Uongozi wa Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, umeanza chini ya wingu la kifo cha ghafla cha rais Peter Nkurunziza, pamoja na wimbi la matarajio mengi kutoka kwa raia wa taifa hilo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Uongozi wa Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, umeanza chini ya wingu la kifo cha ghafla cha rais Peter Nkurunziza, pamoja na wimbi la matarajio mengi kutoka kwa raia wa taifa hilo.


Katika mazungumzo maalum wakati wa kongamano lakutoa heshima za mwisho kwa marehemu Rais Peter Nkurunziza, mwanachama wa jamii yawarundi Rosalia, ameihamasisha serikali mpya ya Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, ichukulie hatua kali unyanyasaji wakijinsia wa wanawake nchini Burundi.

Mwanachama huyo aliomba pia wanawake pamoja na wanaume nchini Burundi, wasaidiwe kupata mitaji ambayo itawawezesha kufanya biashara ndogo ndogo, ili nao wachangie katika uchumi taifa pamoja nakuendeleza familia zao.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now