Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rosemary Kariuki ashinda tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales

Rosemary Kariuki mshindi wa tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales

Rosemary Kariuki mshindi wa tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales Source: Rosemary Kariuki

Jamii yawa Afrika jimboni New South Wales inasherehekea kutambuliwa kwa mchango wa balozi wao Rosemary Kariuki, katika tuzo za New South Wales Australian of the Year.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jamii yawa Afrika jimboni New South Wales inasherehekea kutambuliwa kwa mchango wa balozi wao Rosemary Kariuki, katika tuzo za New South Wales Australian of the Year.


Bi Rosemary amekuwa akitetea maslahi yawanawake na wa Afrika kwa ujumla jimboni New South Wales kwa miaka mingi, kupitia miradi mbali mbali ambayo imeleta mabadiliko mengi chanya katika jamii nyingi.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bi Rosemary alitueleza alivyo jihisi kupendekezwa katika kamati inayo toa tuzo hiyo, harakati anazo fanya zakutetea jamii, na jinsi atakavyo kabiliana na jukumu lakuwa mshindi wa tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales, hadi mshindi mwingine atakapo chaguliwa mwaka ujao.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now