Bi Rosemary amekuwa akitetea maslahi yawanawake na wa Afrika kwa ujumla jimboni New South Wales kwa miaka mingi, kupitia miradi mbali mbali ambayo imeleta mabadiliko mengi chanya katika jamii nyingi.
Rosemary Kariuki ashinda tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales

Rosemary Kariuki mshindi wa tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales Source: Rosemary Kariuki
Jamii yawa Afrika jimboni New South Wales inasherehekea kutambuliwa kwa mchango wa balozi wao Rosemary Kariuki, katika tuzo za New South Wales Australian of the Year.
Share