Rosemine afunguka kuhusu fursa za Magharibi Australia

Bi Rosemine Mutamuliza, afisa katika shirika la Hillview Community Centre jimboni Magharibi Australia

Bi Rosemine Mutamuliza, afisa katika shirika la Hillview Community Centre jimboni Magharibi Australia Source: Hassan Jama

Jamii zawatu wenye tamaduni mbali mbali wanao ishi Magharibi Australia, wamepata sehemu mpya yakupokelea huduma, kuchangia taarifa nakuendesha shughuli zao.


Bi Rosemine Mutamuliza ni afisa katika kituo cha Hillview Intercultural Community Centre, ambacho kiko katika halmashauri ya jiji la Canning, Magharibi Australia.

Bi Rosemine, alieleza SBS Swahili jinsi jamii inaweza faidi kupitia kituo cha Hillview Intercultural Community Centre, pamoja na fursa zingine ambazo zipo Magharibi Australia kwa wanachama wa jamii.

Image

Mahojiano haya yalifanikishwa kwa ushirikiano na Bw Hassan Jama, kutoka Idhaa yaki Somali. Bonyeza hapo Juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service