Jamii zawatu wenye tamaduni mbali mbali wanao ishi Magharibi Australia, wamepata sehemu mpya yakupokelea huduma, kuchangia taarifa nakuendesha shughuli zao.
Bi Rosemine Mutamuliza ni afisa katika kituo cha Hillview Intercultural Community Centre, ambacho kiko katika halmashauri ya jiji la Canning, Magharibi Australia.
Bi Rosemine, alieleza SBS Swahili jinsi jamii inaweza faidi kupitia kituo cha Hillview Intercultural Community Centre, pamoja na fursa zingine ambazo zipo Magharibi Australia kwa wanachama wa jamii.
Image
Mahojiano haya yalifanikishwa kwa ushirikiano na Bw Hassan Jama, kutoka Idhaa yaki Somali. Bonyeza hapo Juu kwa taarifa kamili.
Share






