Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rosemine afunguka kuhusu fursa za Magharibi Australia

Bi Rosemine Mutamuliza, afisa katika shirika la Hillview Community Centre jimboni Magharibi Australia

Bi Rosemine Mutamuliza, afisa katika shirika la Hillview Community Centre jimboni Magharibi Australia Source: Hassan Jama

Jamii zawatu wenye tamaduni mbali mbali wanao ishi Magharibi Australia, wamepata sehemu mpya yakupokelea huduma, kuchangia taarifa nakuendesha shughuli zao.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Jamii zawatu wenye tamaduni mbali mbali wanao ishi Magharibi Australia, wamepata sehemu mpya yakupokelea huduma, kuchangia taarifa nakuendesha shughuli zao.


Bi Rosemine Mutamuliza ni afisa katika kituo cha Hillview Intercultural Community Centre, ambacho kiko katika halmashauri ya jiji la Canning, Magharibi Australia.

Bi Rosemine, alieleza SBS Swahili jinsi jamii inaweza faidi kupitia kituo cha Hillview Intercultural Community Centre, pamoja na fursa zingine ambazo zipo Magharibi Australia kwa wanachama wa jamii.

Image

Mahojiano haya yalifanikishwa kwa ushirikiano na Bw Hassan Jama, kutoka Idhaa yaki Somali. Bonyeza hapo Juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now