Royal Life Saving yazindua kampeni ya usalama wa majira ya joto

Royal Life Saving NSW ACT Ambassador Matt Shirvington helps launch campaign responding to alarming spike in drowning deaths (Supplied).jpg

Tunapo ingia katika majira ya joto, shirika la Royal Life Saving Australia, limezindua kampeni mpya kukabiliana na ongezeko kubwa kwa idadi ya visa vya vifo vinavyo sababishwa na kuzama majini nchini Australia.


Ripoti mpya kutoka shirika hilo ilipata ongezeko kubwa katika muda miaka 20 vyakuzama majini katika muda wa mwaka wa 2021 hadi 2022, wanaume walihusika zaidi katika takwimu za vifo hivyo.

Vilabu vya jamii vyaku okoa maisha navyo vimekuwa vikifanya juhudi zakulenga jamii mpya zawahamiaji wa Australia, kwa kutoa rasilimali katika lugha zao pamoja nakuandaa miradi inayo ambatana na tamaduni zao kutoa elimu kuhusu usalama ndani ya maji.

Kwa vifaa katika lugha yako kuhusu usalama ndani ya maji, na mwongozo wa jinsi yakuogelea, unaweza enda mtandaoni kwenye tovuti ya: drowningprevention.org.au kupata rasilimali mpya kutoka shirika la Royal Life Saving Australia.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Royal Life Saving yazindua kampeni ya usalama wa majira ya joto | SBS Swahili