Rshino Legrand afunguka kuhusu mapokezi ya mziki wa Rhumba Queensland

Rshino Legrand, msanii wa mziki wa Rhumba, Queensland, Australia

Rshino Legrand, msanii wa mziki wa Rhumba, Queensland, Australia Source: SBS Swahili

Mziki wa Rhumba umekita mizizi nchini DR Congo 7kwa miaka mingi, na ni moja ya utambulisho wa taifa hilo la kanda ya Afrika ya Kati.


Rshino Legrand ni msanii jimboni Queensland, Australia ambako amekuwa akipeperusha bendera ya mziki wa Rhumba. Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu harakati zakukuza mziki huo pamoja na mapokezi ya mziki huo Queensland.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service