Mziki wa Rhumba umekita mizizi nchini DR Congo 7kwa miaka mingi, na ni moja ya utambulisho wa taifa hilo la kanda ya Afrika ya Kati.
Rshino Legrand ni msanii jimboni Queensland, Australia ambako amekuwa akipeperusha bendera ya mziki wa Rhumba. Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu harakati zakukuza mziki huo pamoja na mapokezi ya mziki huo Queensland.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.
Share






