Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rshino Legrand afunguka kuhusu mapokezi ya mziki wa Rhumba Queensland

Rshino Legrand, msanii wa mziki wa Rhumba, Queensland, Australia

Rshino Legrand, msanii wa mziki wa Rhumba, Queensland, Australia Source: SBS Swahili

Mziki wa Rhumba umekita mizizi nchini DR Congo 7kwa miaka mingi, na ni moja ya utambulisho wa taifa hilo la kanda ya Afrika ya Kati.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Mziki wa Rhumba umekita mizizi nchini DR Congo 7kwa miaka mingi, na ni moja ya utambulisho wa taifa hilo la kanda ya Afrika ya Kati.


Rshino Legrand ni msanii jimboni Queensland, Australia ambako amekuwa akipeperusha bendera ya mziki wa Rhumba. Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu harakati zakukuza mziki huo pamoja na mapokezi ya mziki huo Queensland.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now