Samatta na Villa watanusurika kutimuliwa ligi kuu Uingereza?

Mbwana Samatta, dimbani dhidi ya Everton katika ligi kuu ya Uingereza

Mbwana Samatta, dimbani dhidi ya Everton katika ligi kuu ya Uingereza Source: Aston Villa FC

Umekuwa msimu ulio jawa changamoto nyingi bila kuongeza janga la COVID-19, lililotishia kufuta msimu wa ligi kuu ya Uingereza.


Baada ya mamlaka husika kuruhusu msimu huo kuendelea, vilabu vingi vilijipata pahali pabaya kupona mtego wakushushwa kutoka ligi kuu ya soka ya Uingereza.

Mwandishi wetu Frank Mtao pamoja na mchambuzi wa michezo Gabriel, walifunguka kuhusu changamoto inayo kabili Aston Villa timu ya nahodha wa Tanzania mshambuliaji Mbwana Samatta.

Aston Villa ilijipata katika hali ambapo ilihitaji ushindi au kutoka sare, wakati huo huo ikiwaombea mabaya wapinzani wao wakaribu Watford washindwe ili waweze pona mtego wakushushwa kutoka ligi kuu. Bofya hapo juu kwa uchambuzi kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service