Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Sasa Care yakubali kuwa mdhamini wa kombe la Afrika jijini Sydney, New South Wales

Zeah na Leornard kutoka shirika la Sasa Care

Zeah na Leornard kutoka shirika la Sasa Care, baada ya sherehe yauzinduzi wa kombe la Afrika, South Granville, New South Wales Source: SBS Swahili

Janga la COVID-19 lime athiri bajeti ya kampuni nyingi ambazo hudhamini, matukio mbali mbali katika jamii.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Janga la COVID-19 lime athiri bajeti ya kampuni nyingi ambazo hudhamini, matukio mbali mbali katika jamii.


Licha ya athari hizo kwa biashara kampuni ya Sasa Care, ime amua kukubali ombi lakuwa mdhamini wa kombe la Afrika mwaka huu.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Mkurugenzi Mkuu wa Sasa Care Zeah, aliweka wazi kilicho mshawishi akubali ombi lakudhamini michuano hiyo.

Michuano ya Kombe la Afrika ita anza Jumamosi tarehe 7 Novemba 2020 katika uwanja wa Progress, South Granville, New South Wales.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now