Janga la COVID-19 lime athiri bajeti ya kampuni nyingi ambazo hudhamini, matukio mbali mbali katika jamii.
Licha ya athari hizo kwa biashara kampuni ya Sasa Care, ime amua kukubali ombi lakuwa mdhamini wa kombe la Afrika mwaka huu.
Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Mkurugenzi Mkuu wa Sasa Care Zeah, aliweka wazi kilicho mshawishi akubali ombi lakudhamini michuano hiyo.
Michuano ya Kombe la Afrika ita anza Jumamosi tarehe 7 Novemba 2020 katika uwanja wa Progress, South Granville, New South Wales.
Share






