Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.
Katika makala ya leo kuna:
Taarifa mpya za habari
Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika, kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya.
Makala kuhusu jinsi Australia inawapokea wanafunzi wakimataifa wanao rejea nchini tena baada ya takriban miaka mbili.
Mahojiano na wahanga wa mafuriko ya Queensland, ambao wame weka wazi walivyo jinusuru pamoja na familia zao.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






