SBS Swahili Mubashara 12 Julai 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia, na kutoka Afrika Mashariki na Kati.

  • Makala kuhusu mbinu ambazo shirika la AMREF linatumia, kutoa chanjo za UVIKO-19 katika maeneo ya mji wa Nairobi na vijijini nchini Kenya.

  • Mahojiano na Bw Monga Mukasa, afisa wa mahusiano kati ya jamii na shule katika Idara ya Elimu ya Victoria. Bw Mukasa aliweka wazi baadhi ya changamoto zinazo kumba familia, wanafunzi na shule, pamoja na mbinu inazo tumia kupata suluhu ya baadhi ya changamoto hizo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
SBS Swahili Mubashara 12 Julai 2022 | SBS Swahili