Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.
Katika makala ya leo kuna:
Taarifa mpya za habari
Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika, mubashara kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya.
Makala kuhusu shinikizo kwa serikali iingilie swala la ongezeko la bei ya mafuta nchini Australia.
Makala kuhusu jinsi yakujilinda dhidi ya watapeli wanao tumia UVIKO-19 kuwadhulumu watu ambao wako katika mazingira.
Uchambuzi wa joto lakisiasa nchini Kenya, baada ya vinara wa miseto yakisiasa kutangazwa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






