Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

SBS Swahili Mubashara 19 Julai 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia, na kutoka Afrika Mashariki na Kati.

  • Makala kuhusu jinsi na sababu zaku tumia namba ya dharura yataifa 000.

  • Mahojiano na Bw Theophile Elongo, mwenyekiti wa shirika la ASSIDA linalo wahudumia wakimbizi. Bw Elongo alizungumzia baadhi ya miradi ambayo shirika lake linasimamia kwa vijana, na jamii kwa ujumla.

  • Mahojiano na Bw Djuma ambaye ni mmoja wa viongozi wa timu ya mpira wa miguu ya vijana kutoka DR Congo, wanao ishi Sydney, Australia kuhusu maandalizi na matokeo ya kombe la uhuru wa DR Congo waliyo andaa hivi karibuni.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now