SBS Swahili Mubashara 19 Julai 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia, na kutoka Afrika Mashariki na Kati.

  • Makala kuhusu jinsi na sababu zaku tumia namba ya dharura yataifa 000.

  • Mahojiano na Bw Theophile Elongo, mwenyekiti wa shirika la ASSIDA linalo wahudumia wakimbizi. Bw Elongo alizungumzia baadhi ya miradi ambayo shirika lake linasimamia kwa vijana, na jamii kwa ujumla.

  • Mahojiano na Bw Djuma ambaye ni mmoja wa viongozi wa timu ya mpira wa miguu ya vijana kutoka DR Congo, wanao ishi Sydney, Australia kuhusu maandalizi na matokeo ya kombe la uhuru wa DR Congo waliyo andaa hivi karibuni.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
SBS Swahili Mubashara 19 Julai 2022 | SBS Swahili