Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.
Katika makala ya leo kuna:
Taarifa mpya za habari
Makala kuhusu jinsi yakumsaidia mtoto wako kuhifadhi lugha na tamaduni anapo kuwia nchini Australia
Makala kuhusu jinsi wazazi wanakabiliana na changamoto, zakuwafunza watoto lugha na tamaduni za nyumbani
Taarifa mpya kuhusu UVIKO-19, na sehemu zakufanyia vipimo na chanjo nchini Australia
Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






