Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.
Katika makala ya leo kuna:
Taarifa mpya za habari
Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika, mubashara kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya.
Makala kuhusu jinsi yakutambua dalili za mshtuko wa moyo, na unacho weza fanya ikitokea.
Mahojiano kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Kusini Australia.
Mahojiano kuhusu tamasha ya Sanaa Festival, mjini Adelaide, Kusini Australia.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






