SBS Swahili Mubashara 24 Julai 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia, na kutoka Afrika Mashariki na Kati.

  • Makala kuhusu jinsi yakutumia namba ya huduma ya dharura ya 000 nchini Australia.

  • Mahojiano na Bw Alfred Koech, mwanariadha mstaafu mwenye asili ya Kenya. Bw Koech alizungumzia sakata lakucheleweshwa kwa vibali vya usafiri vya mwanariadha mashuhuri wa mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala kabla ya kuanza kwa mashindano ya riadha Oregon, Marekani. Bw Koecha alizungumzia jinsi tukio kama hilo linavyo weza mdhuru mwanariadha kimwili, kisaikolojia pamoja na madhara hayo kuwa athiri wandani wa mhusika.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
SBS Swahili Mubashara 24 Julai 2022 | SBS Swahili