Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

SBS Swahili Mubashara 24 Julai 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia, na kutoka Afrika Mashariki na Kati.

  • Makala kuhusu jinsi yakutumia namba ya huduma ya dharura ya 000 nchini Australia.

  • Mahojiano na Bw Alfred Koech, mwanariadha mstaafu mwenye asili ya Kenya. Bw Koech alizungumzia sakata lakucheleweshwa kwa vibali vya usafiri vya mwanariadha mashuhuri wa mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala kabla ya kuanza kwa mashindano ya riadha Oregon, Marekani. Bw Koecha alizungumzia jinsi tukio kama hilo linavyo weza mdhuru mwanariadha kimwili, kisaikolojia pamoja na madhara hayo kuwa athiri wandani wa mhusika.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now