Katika makala ya leo kuna:
Taarifa mpya za habari
Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika, mubashara kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya.
Taarifa kuhusu matukio ya siku ya ANZAC na umuhimu wake Australia.
Makala kuhusu kampeni za uchaguzi mkuu, wagombea wakiendelea kuuaza sera zao nakuwakosoa wapinzani wao kila wanapo pata fursa.