Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.
Katika makala ya leo kuna:
Taarifa mpya za habari
Makala kuhusu msimamo wa serikali ya Australia pamoja na upinzani katika mgogoro wa kati ya Urusi na Ukraine.
Makala kuhusu jinsi yakumlea mtoto anaye zungumza lugha mbili nchini Australia.
Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






